Powered by Blogger.

Ommy Dimpoz afungukuka kuhusu gharama alizotumia hadi kupiga picha na Rooney


Msanii Omy Dimpoz amefunguka kuhusu vacation yake ya Ibiza na kudai gharama za maisha kule ni juu sana
Akaongezea kile kisiwa alichoenda na kupiga picha na Wayne Rooney ku book meza kwa ajili ya lunch ilikuwa ni Euro 10,000 ambazo ni around milion 25 za Tanzania
Akizungumzia kuhusu watu kusema yule sio Rooney Originala amedai hiyo ni kawaida kwani inawezekana hata mtu akatoka mkoani na kupiga nae picha kisha akawaonyesha wenzake na kumbishia wewe huwezi kupiga picha na Ommy Dimpoz Video: 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment